Panga Nyumba Yako ya Ndoto Leo
Huduma za kitaalamu za ramani za nyumba kwa bajeti yako
Agiza Ramani Sasa (WhatsApp)Kwanini Utuchague?
- ✔ Experienced Civil Technician
- ✔ Packages for all budgets
- ✔ WhatsApp support & advice
- ✔ Fast delivery of house plans
Vifurushi Vyetu
BASIC
TZS 300,000 – 500,000
- Ramani ya mpangilio wa nyumba
- Muonekano wa nje (Elevation)
- Marekebisho 1 bure
- Inafaa bajeti ndogo
Agiza BASIC
Agiza BASIC Package
INAYOCHAGULIWA ZAIDI
STANDARD
TZS 700,000 – 1,200,000
- Ramani ya Architectural
- Ramani za Structural
- BOQ (Makadirio ya gharama)
- Marekebisho 2 bure
- Ushauri WhatsApp
Agiza STANDARD
Agiza STANDARD Package
PREMIUM
TZS 1,500,000 – 3,000,000
- Ramani kamili Architectural & Structural
- BOQ ya kina
- Michoro ya 3D
- Usimamizi wa awali wa ujenzi
- Huduma ya kipaumbele
Agiza PREMIUM
Agiza PREMIUM Package
Portfolio / Gallery
About Us
Mbedule Design Centre ni huduma ya kitaalamu inayotoa ramani za nyumba kwa wateja wote nchini Tanzania. Tunahakikisha huduma bora, haraka na kwa bajeti yako.
Testimonials
“Ramani yetu ya nyumba ilitengenezwa kwa haraka na kwa ufasaha. Asante Mbedule Design Centre!”
“Huduma nzuri, WhatsApp support ni nzuri sana.”
Tips & Blog
Jinsi ya kupanga bajeti ya nyumba yako kwa ufanisi. Soma zaidi
Makosa 3 ya kawaida watu wanayofanya wanapojenga nyumba. Soma zaidi
Panga Nyumba Yako Leo 🏠
Pata ramani sahihi, BOQ na ushauri kabla hujaanza ujenzi.
Wasiliana Nasi WhatsApp